| Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea kombe la
ubingwa wa dunia wa soka la watoto wa Mitaani kutoka kwa nahodha msadidizi wa
timu ya soka ya Tanzania ya Watoto wa Mitaani, Frank William, wakati
alipowaandalia chakula cha mchana kwenye makazi yake mjini Dodoma Aprili
11,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
No comments:
Post a Comment