![]() |
| Bwana Pascal Kabanga kulia |
Katika ajali hiyo iliyosababishwa na kufeli kwa mfumo wa breki aina ya CANTER, kwa taarifa za awali halijasababisha vifo wala majeruhi, na limevamia makaazi ya watu baada ya kushindwa kukata kona katika round about hiyo.
Na Mwanaharakati.

No comments:
Post a Comment