![]() |
| Mzee Gurumo enzi za uhai wake |
Mwanamuziki huyo amefariki alasiri hii katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa matibabu.
Mpaka sasa sababu sababu kamili bado na taratibu za mazishi bado hajizafahamika.
Tunaendelea kufanya mawasiliano ya kina kukuletea taarifa hii kuhusu taarifa ya kifo hicho
Na Mwanaharakati.

No comments:
Post a Comment