MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 24 April 2014

DJ ALIYEKUFA KWA AJALI AZIKWA RASMI

 




DJ ALEX, Da Wolf, Baba Rachel, The Turntable Witch, Our real Neccah, alikufa kwa ajali ya basi la Luhuye mkoani Simiyu, ambapo alikuwa Dj na mtangazaji wa Metro fm Mwanza.

Alikuwa akifanya kipindi cha Hot mixing ambapo sauti za waombolezaji zimesikika zikisema “Hautorudi Tena, sintosikia wala kukuona akifanya Hot Mixings”

Sintokusikia tena ukiniambia Niache UKUKU na nipige Kazi....ni mmoja wa wafanyakazi wa Metro.
 

Na Mwanaharakati.

No comments: