Kamanda wa polisi mkoani Ruvuma AHMED MSANGI, amesema kuwa
ni kweli malori yaliyokuwa yamekwama mpakani Tuinduma yameanza safari zake
usiku wa kuamkia leo.
![]() |
Kamanda Msangi |
Awali mmoja wa madereva wa lori SALEHE NADI, alitueleza kuwa tatizo ni uwapo wa shimo dogo baada ya gari moja kupata ajali upande mwingine, lililokuwa likitokea Sumbawanga, ambapo taarifa waliyonayo madereva ni kuwa utaratibu wa kukarabati eneo hilo unaendelea.
Ameeleza kuwa kinachowauma wanalipia dola 350 kama ushuru wa kuvusha gari, kutoka Tanzania kwenda Zambia, ambapo hakukuwa na sababu ya kushindwa kukarabati eneo hilo, Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment