MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday, 15 April 2014

MASKINI KIJANA AJINYONGA



Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina moja la ALAN aliyekuwa darasa la nne katika manispaa ya Bukoba mta wa Buyekera, amekutwa amejinyonga nyumbani kwao buyekera.

Kutokana na tukio hilo, polisi walifika na kufanya hatua za mwanzo na kuondoka na mwili wa marehemu kwa uchunguzi zaidi wa tukio hilo la kusikitisha, ambapo harakati imetafuta uongozi usiku huu na kufanikiwa kuongea na mwenyekiti wa mtaa Buyekera Bwana Kamugisha na kueleza kuwa maiti imechukuliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi


Na Mwanaharakati.

No comments: