MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 24 April 2014

UPDATES; AJALI YA BASI, HALI IKO HIVI


Taarifa ya jana inasema kuwa watu 40 waliojeruhiwa walikuwa kwenye basi la Urio linalofanya safari zake kati ya Arusha-Tanga-Rushoto.
Ajali hiyo imetokea saa 10 jioni wakati basi la Urio likikwepa gari jingine katika makutano ya barabara ya uwanja wa ndege wa kimataifa KIA
katika barabara ya Mosji -Arusha karinu na ktuo kimoja cha mafuta.

Endelea kufuatilia mtandao huu kupata taarifa rasmi kama kuna vifo na hali za majeruhi.

Na Mwanaharakati.

No comments: