MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 14 April 2014

UPDATES:MKUU WA MKOA WA ARUSHA AZUNGUMZIA TUKIO LA BOMU KULIPUKA KWENYE BAA USIKU APRILI 13, 2014



Taarifa zinasema kuwa bomu hilo limeripuka katika baa moja ijulikanayo kama NIGHT PARK iliyopo Mianzini muda wa saambili kasoro usiku wa jana.

Limejeruhi watu 15 ambapo wamekimbizwa katika hospital ya Mount Meru na Selian jijini Arusha.

‘Arusha night park’ Arusha ambayo siku zote ni miongoni mwa sehemu zinazokua na mkusanyiko wa watu wengi kuanzia jioni, limerushwa bomu wakati watu mbalimbali wakitazama mpira.

Kwenye sentensi nyingine pia amesema hakuna aliepoteza maisha kwenye shambulio hilo ambalo uchunguzi wa awali umeshatoka, ila baadae itatoka taarifa rasmi pale uchunguzi kamili utakapokamilika.
 

Na Mwanaharakati.

No comments: