MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday, 24 May 2014

BREAKING NEWS!!! BASI LAUA MKOANI TANGA

Kijana ambaye jina lake halijafahamika alipogongwa na kuawa

  Basi hilo la abiria mali ya kampuni ya CHAKITO LONG WAY namba T354 ARK linalofanya safari zake kati ya jiji la Arusha na jiji la Dar es salaam limemgonga mtoto aliyekuwa akiendesha baiskeli na kumuua papo hapo baada ya kumuumiza vibaya wilayani Korogwe. 


Kwa mujibu wa shuhuda wetu mtoto huyo amegongwa na basi hilo alipokuwa akivuka barabara na basi hilo lilikuwa katika mwendowa kasi kuelekea jijini Dar es salaam kumgonga.
 Na Mwanaharakati.

No comments: