MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 31 May 2014

BREEAKING NEWS!!!BASI LAPATA AJALI SINGIDA

Taarifa iliyotumwa na mwakilishi wetu kutoka Ssingida, inasema kuwa ni la kampuni ya KIMOTCO lililokuwa likitoka Dodoma kuelekea mikoa ya kanda ya ziwa.

Imesema kuwa limeacha njia na kujikita kwenye ukingo wa barabara katika la kati ya Manyoni na kijiji cha Ikungi muda mfupi uliopita.

Picha na taarifa za majeruhi zitakujia kwani inasemekana hakuna aliyepoteza maisha katika ajali hiyo ambayo imesababisha tairi ya mmbele ya basi hilo kuchomoka.

Na Mwanaharakati.


No comments: