MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 31 May 2014

NEWS ALERT!!!KIFO CHA MSANII MWINGINE BONGO MOVIE

Ni mwongozaji George Otieno Tyson ambaye taarifa inasema amekufa baada ya gari waliokuwa wakisafiria kupata ajali mkoani Morogoro.

Alikuwa akielekea kuandaa kipindi cha THE MBONI SHOW kwani yeye ndiye alikuwa mwongozaji wake akiwa wafanyakazi wengine.

Director George Tyson aliwahi kuwa mume wa msaniii Monalisa na walizaa pamoja mtoto mmoja.

Tunaendelea kufuatilia taratibu zinazoendelea kwani ukumbukwe ni kifo cha msanii wa tatu hivi karibuni baada ya Adam Kuambiana, na Rechal Haule.
Na Mwanaharakati.

No comments: