MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 8 May 2014

BREAKING NEWS!!! GARI LA MAGAZETI LA MWANANCHI LA GONGA NA KUUA MKOANI MARA

Ajali hiyo imetokea asubuhi hii mkoani Mara katika daraja la Kirumi mpakani mwa Rorya na Butiama.

Ni la kisambaza magazeti ya mwananchi ambapo taarifa za awali zinasema gari hiyo imesababisha kifo baada ya kugonga.

Endelea kufuatilia tutakuletea undani.



No comments: