Maofisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania pamoja na
maafisa Jamii na wananchi wakifuatilia kwa makini risala ya mgeni rasmi
Mkurugenzi wa Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleao ya Jamii ,Jinsia na Watoto
Meshack Ndasikoi(hayupo katika picha), wakati wa hafla ya kufungua wiki ya
kusaidia jamii ikiwa ni maadhimisho ya miaka 50 ya Jeshi laWananchi wa Tanzania
leo jijini Dar es Salaam.
|
No comments:
Post a Comment