MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday, 22 August 2014

MUHIMU SANA!!! NDOA ZA UTOTONI MKOANI KAGERA, SIKILIZA MAKALA YA KUSISIMUA 88.5MHz LEO SAA 3:15 USIKU

Mwandaaji wa vipindi hivyo Nicolaus Mac Ngaiza akiwa studio za Kasibante fm Bukoba.

Mmoja kati ya akina dada mwenye umri wa miaka 21 baada ya kuolewa akiwa na miaka 15 na sasa ana watoto wanne.

Nicolaus akizungumza na wazazi pamoja na walezi mbalimbali katika wilaya ya Muleba.

Ni mmoja kati ya wauguzi ambaye atasikika katika makala ya pili akizungumzia hatari ya kujifungua katika umri mdogo.

Mac Ngaiza katikati, akiwa na mtaalamu wa habari kulia Bi Haule na mwandishi habari kutoka redio afya Mwanza Juma Idd, wakijadili uboreshaji wa makala za redio.

Baada kukusanya matukio mbalimbali kuhusu uzazi kwa wenye umri mdogo, sasa Nicolaus akiwa studio za MACMEDIA PRODUCTION ku-edit vipindi hivyo.

Na Mwanaharakati.

No comments: