MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday, 20 August 2014

NEWS ALERT!!!UCHAGUZI WA WATANZANIA HUKO MAREKANI WAPINGWA

Agosti 9, 2014, Jumuiya waTanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia nchini Marekani ilifanya uchaguzi wake mkuu. Matokeo yake yamekuwa yakipingwa na waliokuwa wagombea wa uchaguzi huo kutokana na sababu mbalimbali.
Mwenyekiti wa Jumuiya DMV Liberatus Mwang'ombe (kushoto) na mgombea nafasi ya Katibu Msaidizi Solomon Chris (kulia) na katikati ni Mubelwa Bandio mtangazaji wa kwanza jamii, wakati wa mahojiano maalum.

Mmoja wa wagombea hao, Salma Moshi amaketi nasi kueleza sababu hasa za kupinga matokeo hayo siku ya Jumatano ya Agosti 13, 2014 .
Na Mwanaharakati.

No comments: