MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 29 November 2014

BREAKING NEWS! RAIS KIKWETE AGOMA KUZUNGUMZIA ESCROW BAADA YA KUWAAILI UWANJAWA WA NDEGE DAR.

Pamoja na kuwapo subira kuwa atazungumzia kinachoendelea kuhusu ESCROW huko Bungeni Dodoma, Rais Kikwete bado anaendelea kuelezea kuhusu ugonjwa aliokuwa akitibiwa kwakutaja kuwa madaktari waligundua sehemu ya kansa katika vipimo14 walivyochambua kwenye tezi hilo dude.

Amehitimisha mazungumzo yake kwakusisitiza kuwa hagusii kinachojiri Dodoma kuwa hakijui vizuri na akikijua atasema.
Na Mwanaharakati.

No comments: