MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 29 November 2014

MWISHOWE BUNGE LAAZIMIA HAYA HAPA WAHUSIKA KUYIMULIWA

Ni baada ya maazimio mapya ambayo yamepitishwa na bunge kuwa wahusika wote uteuzi wao uangaliwe na kutenguliwa.

Wamo waziri wa nishati, waziri wa aridhi nyumba na Makaazi, mwanasheria mkuu na katibu wa wizara ya nishati na madini.

Hatahivyo bunge limeadhimia mikataba kurejerewa huku mitambo ya I PTL kutaifishwa ili kuhudumia watanzania.
Na Mwanaharakati.

No comments: