
amesema kati ya waliopoteza maisha wapo watoto wadogo wawili ambao tayari wametambuliwa Omary Visenti miaka 2 na Dorcas Masanja miaka 2, ambapo amesema kuwa utingo na fundi wa basi hilo Matokeo Philipo mkazi wa Shinyanga, naye ametpoteza maisha na tayari ametambuliwa.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment