MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 29 December 2014

HALI YA WASIWASI KUTOKEA UKAME MKOANI MOROGORO

Hali hiyoinajitokeza baada ya msimu wa mvua kubadilika kwa kupungua kiwango cha mvua, huku  milima yenye kuwa na unyevunyevu na baridi huku mawingu yakiwa karibu na milima hiyo, sasa vikitoweka, na jotokuongezeka.
Picha ikionesha mojaya eneo lililo bondeni, nje kidogo ya mji huo katika eneo la Nanenane ambapo miaka ya nyuma hapa palikuwa na maji na unyevu wa mara kwa mara.


 Hatahivyo baadhi ya mazao kama matunda ambayo yalikuwa yakipatikana kutokea upande wa pili wa milima inayoonekana kwenye picha chini Mgeta, sasa yanapatikana kwa shida na gharama iko juu, ambapo wakaazi wake wanasema tatizo uongozi umeshindwa kusimamiamatumizi ya maeneo na kusababisha baadhi ya wananchi kuvamilia milima hiyona kufanya shughuli za kilimo.
Taswira mji wa Morogoro eneo la soko la sabasaba na milima ikionekana kwa mbali kuwa miti imekatwa kwa kiasi kikubwa na mawingu ambayo yalikuwa yakitanda hayapo kabisa.

Na Mwanaharakati.

No comments: