MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday, 16 December 2014

NEWS ALERT!!! MKATABA WA UMEME TANZANIA, ZAMBIA NA KENYA WASAINIWA

 
Watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na Shirika la Umeme nchini (Tanesco), (mstari wa mbele) waliohudhuria hafla iliyofanyika nchini Zambia ya kutiliana saini Makubaliano ya Awali (MoU) ya mradi wa pamoja wa kujenga miundombinu ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 400 kati ya nchi za Zambia, Tanzania na Kenya wakimsikiliza mmoja wa wazungumzaji katika hafla hiyo (haonekani pichani). Kutoka kulia ni Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, Eng. Hosea Mbise, Decklan Mhaiki, Naibu Mkurugenzi Mtendaji-Uwekezaji (Tanesco), Kasindi Malale, Injinia Mkuu (Tanesco), Leonard Masanja, Injinia Mkuu (Wizara) na Mwanasheria, Abbas Kisuju (Wizara).


Na Mwanaharakati.

No comments: