MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday, 3 December 2014

SHEKH AFIA MAKABURINI AKIZIKA; SOMA HABARI KALIMI HAPA



Aliyekuwa Shehe Mkuu wa Bakwata Wilaya ya Mbeya, Abubakar Mketo amefariki dunia mwishoni mwa wiki iliyopita kufuatia kuanguka ghafla makaburini wakati akitoa mawaidha ya Kiislam ya jinsi waumini wanavyotakiwa kuishi katika ulimwengu wa dhambi! Inauma sana! 

ILIVYOKUWA
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, baada ya kumaliza kuusitiri mwili wa marehemu Bibi Majuto ndani ya nyumba yake ya milele, Shehe Mketo alisimama na kuanza kutoa mawaidha kwa waombolezaji waliohudhuria mazishi hayo akiwaelekeza namna ya kuishi kwa kutii amri za Mungu na kufuata njia zake kwa vile hakuna anayejua atakufa lini kama ilivyokuwa kwa marehemu Bibi Majuto. 

MANENO YAKE YA MWISHO

Vyanzo vinadai kuwa, dakika chache kabla ya shehe huyo hajapatwa na mauti alionekana ni mwenye afya njema huku akitoa Neno la Mungu ambalo kila mtu aliyekuwa eneo hilo la makaburi lilimgusa na kujitafakari upya njia zake, alisema
 

Na Mwanaharakati.

No comments: