Tunaarifiwa kuwa Bilionea mmoja huko
Nigeria ameliwekea urembo gari la Hummer yenye thamani ya dola 1,000 na kumzika
nayo mama yake katika mji wa Enugu nchini Nigeria.

![]() |
| Gari la Hummer lililobeba mwili wa marehemu likiingizwa kaburini. |
![]() |
| Bilionea akimzika mama yake ndani ya gari la Hummer nchini Nigeria. |



No comments:
Post a Comment