MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 15 January 2015

BREAKING NEWS!!! MAAMUZI YA MAHAKAMA KUHUSU MGOMO WA WACHINJAJI NYAMA MANISPAA YA BUKOBA


Makamu mwenyekiti wa wachinjaji manispaa Primusi Kalokora

Wafanyabiashara hao 13 wa manispaa ya Bukoba, walipeleka ombi la kufungua kesi hiyo juzi,katikamahakama ya mkoa wakitaka kuruhusiwa kuuza nyama kwa shilingi elfu tano kwa kilo, na uongozi wa manispaa kupeleka pingamizi la ombi hilo, ambalo limepanguliwa mpaka tarehe 10 Feb2015.

Awali mkurugenzi manispaa ya Bukoba,iliwaandikia barua wafanyabiashara hao, kuwataka washushe bei nyama waliopandisha kwa kisingizo cha ghara ya ununuzi wa Ng’ombe kupanda.

Barua ya mkurugenzi manispaa kuwataka washushe bei.

Baadhi ya wafanyabiashara ya nyama manispaa ya Bukoba wakiwa kwenye mgomo
Na Mwanaharakati.

No comments: