MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 22 January 2015

MASKINI FLORIAN KAIZA; WANAHABARI WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA BABA

 Ni baada ya kifo cha baba yake mzazi mzee Feldinand C Rweyemamu, aliyeaga dunia siku mbili zilizopita katika hospitali ya Bugando alikokuwa akipatiwa matibabu.
Kaijage katikati wakati wa mazishi ya baba yake mzazi

Mama mzazi wa Florian Kaijage kushoto wakayi mazishi yakiendelea, aliyesimama katikati ni mwanahabari Anjero Mwoleka, ambaye katika msiba huo amefiwa na baba yake mdogo.


Katibu wa chama cha waandishi wa habari mkoani Kagera Phinias Bashaya akiweka shada la maua kwenye kaburi la mzee Feldinand.

Mzee Feldinand alikutwa na mauati hospitalini Bugando Mwanza, alipokuwa amelazwa baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume mwaka jana.
Na Mwanaharakati.

No comments: