Nicolaus Mac (None Association Movement)
KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)
Friday, 9 January 2015
MAZUNGUMZO YA SPIKA NA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI OFISINI KWA SPIKA BADO FARAGHA
Spika wa Bunge la Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Anne
Makinda akimkaribisha
ofisini kwake Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu George Masaju wakati
alipofanya ziara fupi ya kubadilishana mawazo.
Mwanasheria Mkuu wa
Serikali Ndugu George Masaju akifanya mazungumzo na Spika wa Bunge Mheshimiwa Anne Semamba
Makinda kwenye ofisi ndogo za bunge Dar-es-salaam.
No comments:
Post a Comment