Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe.Mathias
Chikawe (katikati)
wakiongozana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu
pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi. Chiku Galawa kuingia
ukumbini kwenye hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa maafisa wakuu
waandamizi wa Jeshi la Polisi unaoendelea Mkoani Dodoma. |
No comments:
Post a Comment