
Katika sikukuu hiyo waislamu ukesha wakisali na kuimba huku mawaidha mbalimbali yakiongozwa na viongozi kadhaa wa kidini hutolewa ambapo katika mkesha wa leo katika manispaa ya Bukoba wapo mashekh kama Kakwekwe na wengineo.
Na Mwanaharakati.
Nicolaus Mac (None Association Movement) KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
No comments:
Post a Comment