Nicolaus Mac (None Association Movement) KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
Thursday, 19 February 2015
AJALI YA ZIMAMOTO BUKOBA
Ni gari aina ya BENZ ya huduma ya zimamoto kutoka kituo kikuu Bukoba, imeanguka katika eneo la Migera manispaa ya Bukoba, wakati ikielekea kwenye kata hiyo ya Migera manispaa ya Bukoba, baada ya uwapo wa taarifa kuwa nyumba inaungua moto katika kata hiyo.
Huku ikiwa na askari takribani..............
watano, gari hiyo imeanguka huku haikufanikiwa kufika eneo la tukio, na tunaendelea kufuatilia taarifa zaidi za waliokuwa kwenye gari hilo na hali ya moto kwenye nyumba iliyotajwa kuungua.
Na Mwanaharakati.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment