MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday, 18 February 2015

ALIBINO ALIYETEKWA CHATO, AKUTWA AMEKATWA VIUNGO, SOMA TAARIFA HAPA



Taarifa inasema kuwa mtoto YOHANA BAHATI aliyetekwa akiwa na umri wa Mwaka mmoja huko Chato mkoani Geita, amekutwa amekatwa mikono na miguu katika kijiji cha Mganza.

Hatahivyo  mama wa mtoto huyo  inasemekana ameingizwa chumba cha upasuaji leo asubuhi ya saa 5.

Awali kumeripotiwa kuwa mwili wa Marehemu YOHANA BAHATI umekutwa kwenye hifadhi ya Biharamulo lakini kamanda wa polisi mkoani Kagera, amesema kuwa taarifa za awali alizopata zinasema kuwa amekutwa kwenye kijiji cha Mganza wilayani Chato mkoani Geita.
 

Na Mwanaharakati.

No comments: