MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday, 17 February 2015

SAFARI ZA MAJI ZIWA VICTORIA ZA KWAMA SIKU TATU MAGUGU MAJI YATANDA



 
Magugu maji ni tatizo katika ziwa Victoria, ambapo hivi karibuni ongezeko lake linatajwa kuwa ni kutokana na uchafuzi wa mazingira katika mito inayoingiza maji yake ziwani Victoria.
 
Kutanda kwa mimea hiyo katika eneo lenye ukubwa wa takribani hekari 4 kulisababisha vivuko vya Mv Misungwi na Mv Sengerema kushindwa kutoa huduma ya usafiri na usafirishaji kwa takriban siku tatu mfululizo baada ya kukosa eneo la kutia nanga katika eneo la Kigongo.
Ferdinand Mshamo ni Kaimu Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme TEMESA mkoa wa Mwanza


Na Mwanaharakati.

No comments: