MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 15 February 2015

MALINZI ASIMIKWA UKAMANDA, MKUU WA MKOA KAGERA ATAKIWA KUJIPANGA

 Nape Nnauye amesema kuwa sasa wakati umefika wa kumaliza matatizo ya watuwaBukoba baada ya kuonekana hayashughulikiwi huku baadhiya watu wakitumia nafasi zaovibaya katikakutekeleza miradiya viwanja, ujenziwa soko nk.


HatahivyoNnauye amemsimika Dioniz Malinzi kuwa kamanda wa vijana wa CCM mkoani Kagera

Na Mwanaharakati.

No comments: