Ni ununuzi wa tochi na Betry za kata nane lililoombwa na
mwenyekiti wa katika moja ya mitaa ya Kitendaguro ambaye alitoa ombi la
vitendea kazi hivyo katika mkutano wa mbunge huyo katika kata ya Kitendaguro
wikiiliyopita ili waweze kudumisha
ulinzi kutokana na hali ya mahafa kwenye
kata hiyo.
Balozi Kagasheki ametoa TOCHI mbalimbali na beri zake kila mtaa
kwenye mitaa hiyo 8 ambapo mtendaji Merry Mushumbu, amepokea vifaa hivyo kupitia
kwa Jumanne Bingwa aliyepeleka vifaa hivyo kwa niaba ya mbunge Kagasheki, kama
inavyosikika hapa.
Katibu huyo wa CHDEMA wilaya Bw MWEYUNGE, na mwenyekiti katika moja ya
mtaa kwenye kata Kitendaguro, aliomba vifaa hivyo ambavyo ni tochi, betri na
filimbi ambavyo vyote vimekabidhiwa leo.
Itakumbukwa kuwa kata Kitendaguro imekuwa ikikumbwa na mauaji ya kuchinjwa kwawatu tangu october 9 2014,alipouawa mwalimu Dioniz Ng'wandu kwenye kanisa la Pentekoste, kijana aliyekutwa ameuawa nakutolewa macho, Mozes Kashaga, na vijana wengine wawili waliouawa kwa ileile ya vifo mwezi machi mwaka 2015.
Itakumbukwa kuwa kata Kitendaguro imekuwa ikikumbwa na mauaji ya kuchinjwa kwawatu tangu october 9 2014,alipouawa mwalimu Dioniz Ng'wandu kwenye kanisa la Pentekoste, kijana aliyekutwa ameuawa nakutolewa macho, Mozes Kashaga, na vijana wengine wawili waliouawa kwa ileile ya vifo mwezi machi mwaka 2015.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment