Ni kifo
cha msanii mkongwe wa filamu nchini, Juma Ally Salim ‘Mzee Kankaa’ ambaye amefariki
dunia leo alfajiri kule nyumbani kwake Tandale jijini Dar es Salaam, baada ya kutajwa
kusumbuliwa na ugonjwa wa kiharusi kwa muda mrefu.
Mwili wa Mzee Kankaa unatarajiwa kuzikwa leo saa 10 jioni katika makaburi ya Ali Maua jijini Dar es Salaam.
Mwili wa Mzee Kankaa unatarajiwa kuzikwa leo saa 10 jioni katika makaburi ya Ali Maua jijini Dar es Salaam.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment