Maandalizi ya maziko yake yamekamilika huku ndugu na jamaa wanapokea ujumbe ulioongozana na mwili wa marehemu, mpakani wa Uganda na Tanzania.

Mwili wa marehemu Luangisa, uliagwa rasmi jumamosi huko New York Marekani, na kuanza safari ambapo leo unapokelewa hadi nyumbani kwake Kitendaguro, na jioni itafanyika misa maalumu, katika kanisa la KKKT Kashura, na baada ya hapo utazungushwa mjini Bukoba.


Bofya chini kujionea ilivyokuwa huko New York
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment