.
Amesema mtandao ni mzito,
.
Ashindwa kuwataja wanaoshikiliwa,
.
Aipongeza Kasibante redio Bukoba.
Kamanda Henry Mwaibambe, amesema kuwa utaratibu umekamilika way eye kuhamishiwa mkoani Mtwara, naye anaona ni mafanikio kwani amehamishiwa kwenye mkoa wenye changamoto na unaoangaliwa zaidi kwasasa na watanzania kutokana na historia iliyopo mkoani humo sasa.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment