. Polisi kuendeleza msako,
. Taarifas za watu kuuawa zaendelea.


Taarifa zilizoufikia mtandao huu na bado zinafanyiwa kazi, usiku wa kuamkia leo ameuawa mama mmoja katika kitongoji cha Buzi huko Bugabo Bukoba vijijini, ilhali uhalifu ukiendelea kuibuliwa na polisi ya mkoa wa Kagera, ingawaje taarifa zinaonesha kuwa bado unaendelea na taarifa za RCO zinaonesha kuwa wahalifu majini ambao wamekuwa wakisumbua wavuvi wamekamatwa katika wilaya ya Muleba.
Tarifa zaidi na picha endelea kufuatilia hapa.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment