MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 27 June 2015

UCHAGUZI WAFANYIKA KAGERA, WAKIUKAJI WASIMAMISHWA UANACHAMA.



. Ni katika tasni ya habari uchaguzi wa kisheria,
. Vinaja watawala uongozini,
. Tetesi za kuvuruga za sikika.

Akitangaza matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo, katika Manispaa ya Bukoba, Msimamizi wa Uchaguzi huo, Padre PROCESSUS MUTUNGI, amesema kuwa bwana MBEKI amepata kura 19,  na kuwashinda JOHN RWEKANIKA na PRUDENCE KIBUKA, ambao wamepata kura tano kila mmoja.

Katibu Mtendaji ni PHINIAS BASHAYA, na katibu Msaidizi ni NICOLAS NGAIZA,  ambao   hawakuwa na mpinzani.
Mweka Hazini ni LILIAN LUGAKINGIRA, ambaye amepata kura 22 na kumshinda AYOUB MPANJA,  ambaye amepata kura saba
Wajumbe wa Kamati  Tendaji ni LIVINUS FERUZI, MATHIAS BYABATO, RAMA MASELLE na JUHUDI FELIX.

Wakati huo huo, Chama cha Waandishi wa Habari mkoani Kagera-KPC, kimemsimamisha Uanachama kwa Muda, AUDAX  MUTIGANZI,  kwa kukiuka Maadili ya Uandishi wa Habari, huku akitajwa na kuhusika isiyo stahiki ndani ya chama hicho, ambaye hatahivyo alipopewa nafasi ya kujitete alisema yafuatayo.

Na Mwanaharakati.

No comments: