MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 6 July 2015

HUKUMU YA MRAMBA NA YONA HII HAPA, WAHUKUMIWA KUFUNGWA

. Miaka mitatu jela na faini ya sh milinoni 5 juu,

. Mmoja akutwa hana hatia na mahakama yamwachia huru,

. Kesi hiyo imechukua miaka 7 kukamilika.




Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imewahukumu kifungo cha miaka mitatu jela aliyekuwa Waziri wa Fedha Basil Mramba na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Daniel Yona. Licha ya kuhukumiwa miaka 3 jela Mawaziri hao wa zamani wanapaswa kulipa faini ya Sh 5m kila mmoja.

Katika kesi hiyo ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia hasara serikali, mtuhumiwa mwingine aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja amekutwa hana hatia.

Na Mwanaharakati.

No comments: