
Ni meli iliyoanza safari zake mwezi baada ya kufanyiwa marekebisho na kupelekwa ziwani kama mbadala wa Mv Victoria inayoendelea na marekebisho hadi mwezi september 2015 kwa mujibu wa taarifa zilizopo.
Taarifa za jana jumatatu 17 agost 2015, zinasema kuwa Mv Serengeti, iliyokuwa ikitokea Mwanza kwenda Bukoba, ilishindwa kutia naga katika bandari ya Bukoba, na kulazimika kurudhiswa kwa umbali wa maili kadhaa karibu na kisiwa cha Musira na baadaye muda wa saa tano, naodha aliyekuwa akiendesha meli hiyo Bempele Samsoni alifanikiwa kuirudisha na kutia nanga
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment