MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday, 22 August 2015

VIDEO; SUMAYE AIHAMA CCM CHAMA ALICHOJIUNGA NACHO SIRI YAKE



. Asema lazima akina Mbatia wafundishwe,
. Aungana na wanaotafuta mabadiliko.

Ni aliyekuwa waziri mkuu katika awamu ya tatu chini rais Benjamin Mkapa, Frederick Sumaye, amesema amepata Baraka za familia yake ambayo ni ya kaskazini, kwa lengo la kuungana na wanaotafuta maendeleo ndani ya CCM.
Itakumbukwa kuwa ni waliokuwa mawaziri wawili  kuondoka ndani ya CCM, yeye pamoja na Mh Edward Lowasa, baada ya kutochaguliwa kugombea urais kupitia CCM, kwani walikuwa miongoni mwa watia nia 42 kupitia chama hicho, ambapo John Mgufuli aliteuliwa na CCM kupeperusha bendera ya chama hicho. 

Na Mwanaharakati.

No comments: