MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 16 August 2015

NEWS ALERT!!! WALICHOSEMA WALIOKUWA MAASIMU WA KAGASHEKI HIKI HAPA

. Makundi sasa kwisha,
. Ni katika CCM kutambulisha wagombea,
. Kagasheki asema aliyofanya sasa mtayaona.
Chama hicho kimetangaza na kutambulisha rasmi wagombea wake katika manispaa ya Bukoba, katika ngazi ya ubunge na udiwani, ambapo Balozi Khamis Kagasheki amekabidhiwa bendera ya kugombea ubunge, huku madiwani 14 wa kata za manispaa nao wakitangazwa.

Itakumbukwa katika utiaji nia, walijitokeza wagombea 8,  walioshindwa wamejitokeza jukwaani na kukubali matokeo, lakini wakiahidi kushiriki kumwombea kura mteule, lakini wakaenda mbele Zaidi kuwa.<<<BOFYA SAUTI>>>



Katika mkutno huo wa utambulisho, Mh Kagasheki amesema kuwa yaliyokuwa yakibezwa kuwa hakifanya lolote, sasa yataanza kutajwa kwa vitendo kwani wananchi wanayajua, na kamwe yeye hakulenga kuwaletea maendeleo matajiri wenye uwezo bali wananchi wa kawaida ambao hatahivyo hawapati fursa ya kusikika wakifanya ushabiki.



Na Mwanaharakati.

No comments: