Taarifa zilizotufikia kutoka kwa shuhuda zinasema kuwa polisi wameweka ulinzi mkali na wamefyatua mabomu ya machozi kutawanya wananchi waliojitokeza katika uwanja wa ndege kusubiria mgombea urais kupitia UKAWA Edward Lowasa.
Inasemekana wananchi wanazingira eneo hilo bila utaratibu ikizingatiwa serikali imekwishatoa maelekezo juu ya wagombea wanaozunguka mikoa kutafuta wadhamini kuwa hakuna kufanya maandamano kwa kunajitokeza madhara katika misafara hiyo, na ni uvunjifu wa kanuni za uchaguzi.
Tutakuletea undani...
Picha na jamiiforums mapema leo.
No comments:
Post a Comment