MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday, 9 September 2015

MISA NA RATIBA YA MAZIKO YA MZEE JOSEPH MSHUMBUSI




Taarifa iliyotolewa na askofu msaidizi jimbo la Bukoba mjini Dr. Method  Kilaini, inasema kuwa mwili utapokelewa tarehe 10/09/2015 saa3 asubuhi mjini Bukoba, na kusaliwa misa saa nne asubuhi katika kanisa kuu la Katedrale mjini humo.

Baada ya misa mwili utapelekwa kijijini kwao Rulongo, tayari kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika tarehe 11 sep 2015 kuanzia saa8 mchana katika kijiji cha Rulongo Kanazi.


Na Mwanaharakati.

No comments: