MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 5 October 2015

ASKARI AFARIKI BUKOBA WATUHUMIWA UCHOMAJI MAKANISA MBARONI



Kamanda wa polisi mkoani Kagera Augustino Ollomi, ameueleza mtandao huu kuwa askari wa polisi kitengo cha upelelezi amefariki kwa ajali ya pikipiki, huku watu 37 wakishikiliwa na polisi mkoani humo kwa tuhuma za kuhusika na vitendo vya uchomaji makanisa saba mwishoni mwa mwezi Septemba mwaka huu.

Na Mwanaharakati.

No comments: