MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 4 October 2015

NEC YASEMA HAIWEZEKANI VYAMA VYA SIASA KUKAGUA MFUMO, SIKILIZA HAPA



. Yasema wataoneshwa kwa utaratibu wa kisheria,
. Muda wa vyama kupata nakala bado upo,
. Kifo cha Mtikila hakiwezi kuathiri uchaguzi.

Mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi NEC jaj  mstaafu Damian Lubuva, amesema hay oleo katika mahojiano maalumu na moja ya chombo cha habari hapa Tanzania, kuwa vyama visubiri utaratibu ambao umekuwa ukifanyika uendelee kufanyika kama walivyokubaliana, tofauti na kutumia majukwaa na press kuiagiza tume katika mambo ambayo haiwezi kukubaliana nayo kupitia kwao.
Hatahivyo jaj Lubuva, amesema kuwa matokeo yatatangazwa haraka au mapema iwezekanavyo kadri hali itakavyoruhusu lakini siyo ndani ya saa kumi kama inavyoelezwa, huku akisema kuwa tume inatoa onyo kwa vyama vyote bila kutaja chama kwani vyama vyote vimefanya makosa na vyote vimeleka malalamiko yao kwenye tume hiyo na kushughulikiwa kwa uswa.
 






Na Mwanaharakati.

No comments: