MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 20 November 2015

HII KALI; TAMISEMI YAONDOA WAKUSANYA KODI MAOFISINI



Ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI, imeanza utarartibu wa ukusanyaji
kodi kupitia mfumo wa kielektroniki wa ukusanyaji mapato ya mamlaka za serikali za mitaa, kuondoa mianya ya rushwa na wakwepa kodi ilhali Tanzania ikikabiliwa na ujenzi holela katika halmashauri mbalimbali nchini.

Na Mwanaharakati.

No comments: