Taarifa
zinasema kuwa mvua kubwa zimenyesha tangu mapema asubuhi leo, ambapo maeneo
mbalimbali ya jiji la Mwanza yamefurika na kusababisha shughuli za kijamii
kukwama.
Huku tukiharifiwa
kwa awali kuwa watu wawili wamefariki na wengine wakitajwa kujeruhiwa nab ado mamlaka
zinafuatilia taarifa kuhusu ukubwa wa mahafa hayo.
Endelea kufuatilia
hapa tutakuletea undani wa habari hizi.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment