MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 30 November 2015

SERIKALI YAKEMEA JUU YA KAULI ZA RAIS,UTARATIBU WA USAFI SIKU YA UHURU KUTOLEWA

Mkurugenzi wa habari maelezo Bw Assah Mwambene, amesema kuwa kauli inayotolewa na badhi ya watu kwenye mitandao ya kijamii hazifai na rais hakukosea alipoagiza ununuzi wa vitanda Muhimbili.
Wakati huo huo, amesema kuwa utaratibu wa usafi siku ya uhuru tarehe tisa desemba, utafanyika chini ya utaratibu wa serikali za mitaa, ingawa unaandaliwa rasmi kwa wananchi na wafanyakazi.





Na Mwanaharakati.

No comments: