MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday 31 May 2017

AUDIO; KAULI YA CHADEMA BAADA YA KIFO CHA NDESAMBURO



Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA, kimetoa ufafanuzi na namna kifo cha mwenyekiti wa chama hicho mkoani Kilimanjaro kilivyotokea.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma, mwenyekiti wa chama hicho taifa Freeman Mbowe, amesema kuwa ni kifo cha ghafla kwasababu juzi marehemu alitokea mkoani Dodoma na asubuhi ya leo alimwita meya wa jiji la Arusha kwa lengo la kujadili naye suala la waliopata ajali katika shule ya Lucky Vicent, ambapo Philimon Ndesamburo alizidiwa ghafla kabla mazungumzo yao kukamilika...SIKILIZA HAPA 

Na Mwanaharakati.

No comments: