Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limepiga kura leo na kuyapitisha majina mawili ya wanawake pekee Bi. Josephine na Maasah kati ya sita waliojitokeza kugombea nafasi hiyo.
Kati ya wagombea hao alikuwamo Laurence Masha, Ezekia Wenje ambao waliokuwa wamegombea na kukataliwa kwa kutokidhi taratibu, Prof Abdallah Safari, na Salum Mwalimu.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment