MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday, 10 May 2017

HAWA NDIYO WABUNGE WA CHADEMA AFARIKA MASHARIKI EALA

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limepiga kura leo na kuyapitisha majina mawili ya wanawake pekee Bi. Josephine na Maasah kati ya sita waliojitokeza kugombea nafasi hiyo.

Kati ya wagombea hao alikuwamo Laurence Masha, Ezekia Wenje ambao waliokuwa wamegombea na kukataliwa kwa kutokidhi taratibu, Prof Abdallah Safari, na Salum Mwalimu.
Na Mwanaharakati.

No comments: